Mungu kwanza

Tuesday 7 April 2015

THE VALUE OF VISION (THAMANI YA MAONO)


Vision(maono) is something imaginary one thinks one sees or is ability of sight, an ideal or goals towards which one aspires. Maono kwa kifupi ni picha unayo itengeneza kwenye ufahamu kuhusu mambo yajayo. Vision is all about thinking and planning about the future. Maono ni uwezo wa kuona, kupangilia na kuamini mambo yasiyo weza kuonekana kwa macho ya nyama, maono ni uwezo wa kuona wapi unakoenda.
Naweza kusema kushindwa kwa watu wengi katika maisha yao ni kwasababu hawana maono mazuri kuhusu maisha yao.
SIFA ZA MTU MWENYE MAONO (FEATURES OF A PERSON WHO HAS A VISION)
>Huwa anaona ushindi wakati wote
>Mtu mwenye maono ana msimamo wa kimaisha
>Mtu mwenye maono anauwakika na anacho kifanya
>Mtu mwenye maono hawezi kuyumbishwa mpaka ametimiza maono yake.
NAMNA MAONO YANAVYOWEZA KUPATIKANA
Maono yanabebwa na imani, kwahiyo Kuna umuhimu sana kujenga imani iliyo thabiti. Zingatia yafuatayo.
1.Kuzaliwa kwa iman(birth of faith)
Ili maono yako yazaliwe ndani yako nilazima imani izaliwe ili kufanikisha maono yako kutimia. Faith is created by different association (imani inatengenezwa na mambo yafuatayo) au Hatua za kupatikana kwa maono.
~Kusikia
~Kuona
~Imani inakufanya kujengeka, kuimba maono yako. Maono yanakusaidia kufikiri tofauti na wanafikiri wengine.
            Ezekel 33:12
            Kutoka 15:2
            Zaburi  98:1
~Kuweka kwenye matendo kile ulicho jiwekea
~Baadaye zinatokea ishara ambazo zina kutambulisha kuwa wewe ni nani.
~Baadaye unanza kuyaimba maono yako ambayo muda mwingine yanatengeneza maumivu ndani yako.

THE IMPORTANCE OF VISION (UMUHIMU WA MAONO).
>Vision determine your

Hebron Posted via Blogaway


Share:

0 comments:

Post a Comment

Contact

P.o.Box 1404 Mwanza Tanzania
E-mail : frhebron@yahoo.com , frhebron@hotmail.com
Mobile: +255716 423 428 , +255766 710 028

Website Visitors

Copyright © Hebron Fredrick All Rights Reserved Designed and Developed by Hebron Fredrick+255716 423 428