Mungu kwanza

Sunday 28 June 2020

WHAT DOES EFFECTIVE LEADERS DO AT BEST : DAY 1



  •  They communicate effectively.
  •  They have good character.
  •  They have right information.
  •  They have access to right information.
  •  They have a right way of using information.
  •  They have right attitude
  • They know how to handle relationship.
  •  They have values and principle. 
  • They have a philosophy, something they believe in deeply.



 1. THEY COMMUNICATE EFFECTIVELY
 Moja ya mambo ya msingi sana kwa kwa mtu anaetaka au ambaye ni kiongozi ni kuwa na uwezo mkubwa na mzuri wa kuwasiliana. You must be able to communicate so well, bearing in mind the how and the what of your communication. Ni lazima kama kiongozi uzingatie mambo yafuatayo katika mawasiliano yako.

 1. Uwe na cha kuwasiliana, tunza ubora wake, Yaani hakikisha unachotaka kuwasiliana na wengine kiwe kwenye ubora. At any point in time, kila mtu anacho cha kuwasiliana, swali je, kiko na ubora? Utajuaje kina ubora? jiulize, umekipata wapi (chanzo kinabeba ubora).

2. Ujue unawasiliana na nani, Kowing who you communicate is key to selecting the massage and the how to it.

3. Lazima ujue kwanini unataka kuwasiliana. You have to know the purpose or reason behind why you want to communicate. Very important.

 4. After knowing the above three points, Lazima ujue namna ya kuwasiliana. This is key but inategemea sana na zile point za juu pale. Ingiza haya akilini mwako ewe kiongozi, Ukijua unawasiliana na nani, kwanini unawasiliana nae?  itakupa hekima ya kuchagua content na pia approach. Sio kila mtu unaweza kuwasiliana nae huku unaangalia pembeni. Ndio maana unaweza kuwa kiongozi mzuri tu lakini ukakosa kibali kwakuwa namna yako ya kuwasiliana haiwafanyi unaowasiliana nao wakuelewe. Shika hili hapa:" The messenger is important as the message and the how-to it''
Yes, unaweza ukawa na bonge moja la ujumbe, ukaliwakilisha vibaya ujue umeua band. Ndo maana kuna somo linaitwa "communication skills"  linakufundisha mbinu na namna mbali mbali za kuwasilisha ujumbe wako mahali. Epuka sana makosa ya kimasiliano kama leaders. nawasihi kwa Jina la Yesu,  Popote mlipo au mtakapokuwa ,"when a leader fails to communicate, they fail the purpose of their leadership".
When a leader fails to effectively communicate, they fail the purpose of their leadership. Through what am saying now,  most leaders vijana hawajui umuhimu na nafasi yao ya kiuongozi.

 Unapowasiliana lazima ujue kuwa unachoandika wewe kama kiongozi, its not just a comment, its partly a decision and somewhere a very final decision. Weka kwenye mtima hii hapa. " Effective leadership is a function of effective communication". Ukiona groups watu hawachat,usidhani hawaoni au hawana cha kusema. wanaweza wakawa wananyamazishwa na tone of a leadership post aka ToLP

 5. When to communicate.
You must exactly know the timing. You may have a good approach, a right massage, reason,and you even know who but ukikosea tu muda unaharibu kila kitu. Timing is like a catalyst maana inakufanya upatie ujumbe wako na kumfanya unaewasiliana nae aamini kuwa wewe ni very smart leader. Hujawahi kuwasiliana mtu kwa muda sahihi akakwambi. Mungu amuekutumia?  "Timing".

 Kiongozi asiyejua kuwasiliana ni kikwazo kwenye uongozi wake mwenyewe. Na anapoteza kibali cha kuleta mabadiliko kwa nguvu ya ushawishi wake. Kwenye kujua sababu kuna maneno kadhaa, umuhimu, ulazima, udharula na ? What is my LME to you so far?

6. Chooses words carefully.
All effective leaders are master in language.They know the power to the words they choose. Kuna misamiati huwezi kuisikia kwa kiongozi aliyejitambua. Effective leaders chooses the voices to use. Sio kiongozi unaongea ongea tu maneno hayasikiki wala hayaweleweki. Tujifunze kwa Yesu.
 
1 Alijitambua na kujua kusudi la kuwepo kwake duniani.

2 Alijua amekuja kwa ajili ya kufanya nini.

3 Alijua amekuja kufanya nini kwa akina nani, aliwajua watu wake.

 4 Alijua majira yake hata akiwa duniani na hakuwa tayari kujionyesha kabla ya wakati wake.

5 Alichagua njia ya kuongea mpaka mifano kwa kutegemea alikuwa anaongea na akina nani, angalia Mathayo 13:11-12.

 6 Alitumia na kuchagua maneno. Mfano:Wanafiki nyie...kuwafikia walengwa na wahusika ingawa ilikuwa ngumu sana. A leader must have the ability to control his mouth. Ajue what to speak and when.Ukiwa kiongozi mropokaji, ujue uongozi wako hautakosa mgawanyiko. All effective leaders are effective communicators, be it individual or at a group. Kiongozi anaejua kuwasiliana haishi hamu kumsikiliza au kuwasiliana nae, maana anazo njia kadhaa za kuwasiliana. Ukiwa kiongozi anaekariri namna ya kuongoza ujue umejikwamisha. Njia mojawapo ya kuwasiliana ni kunyamaza. Kunyamaza kunahitaji hekima. Katika kuwasiliana unaweza kuongea, kuandika, ni lazima ujue njia ipi kwako ni more effective na ndo maana hata serikalini sio kila mtu anaruhusiwa kuongea na ndo maana yuko mtu anaitwa msemaji wa serikali. Ukijua kusudi la kuwasiliana, timing inakaa sawa. At the highest level.

UBORA WA MAWASILIANO NDIO UBORA WA MAHUSIANO.
 Wengine humu mko kwenye mahusiano, vipi mawasiliano yenu,hai au hoi? mnajua. Kama hamuwasiliani vizuri, mara kwa mar, .mko ICU. Mnawasiliana mkiwa na shida? ukiwa na changamoto? ujue hapo kuna colonialism. Kama hamuwasiliani, hamuhusiani.Period. Ukitaka galagala. Usijivune au kujivunia mahusiano ambayo mawasiliano yake ni mpaka wewe uanzwe au uanze, ukikaa kimya inakula kwako. hapo ujue unalazimisha kupiga penati na wewe ndo refa.

Note: Ukiona mawasiliano yanazorota kwenye mahusiano yako ujue mgeni mharibifu yuko jikoni.


  • Sijui kama mnanielewa?  
  • Sijui kama mnayaishi au mtayaishi haya.
  •  Sijui kama mtayatekeleza. 
  • Mahusiano mengi huzorota mawasiliano yakianza kuharibika.



 Effective leaders communicate effectively.
 Ngoja niwape mfano ambao mtaenda kuusoma na mje hapa na mrejesho: Kwenye pointi hii ya leo, nenda kasome kuhusu Musa na Haruni na kisha uje hapa na ulichojifunza. Ukitoa mrejesho ndo naamini umemaanisha kweli kufikia LLP na cheti utapata cha graduation. Moja ya kazi kubwa ya mwalimu ni kumlinda na kumtetea mwanafunzi wake. na moja kati ya wajibu mkubwa wa mwanafunzi ni kumlinda na kumtetea mwalimu wake. Litafakari hili unambie unachoona ni sawa hapa.


  •  Kwakuwa mawasiliano ni kiini cha uongozi, sio tu ujumbe ulionao bali pia namna unavyouwasilisha, muda unapouwasilisha na hadhira yake basi angalia sana unaedhani unamwambia mambo ya ndani ya kiuongozi popote. In leadership effective communication there is a difference between privacy and secrecy and confidentiality.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Contact

P.o.Box 1404 Mwanza Tanzania
E-mail : frhebron@yahoo.com , frhebron@hotmail.com
Mobile: +255716 423 428 , +255766 710 028

Website Visitors

Copyright © Hebron Fredrick All Rights Reserved Designed and Developed by Hebron Fredrick+255716 423 428